Wednesday, 2 December 2015

BAADA ya wiki iliyopita kuwaletea marais wa Afrika waliofia madarakani. Yaani walikuwa wakiongoza nchi zao wakakumbwa na mauti. Wiki hii tunawaletea marais waliouawa kwa kupigwa risasi wakiwa madarakani.
View photo in message
Wageni na maafisa wa shirika la ndege la Etihad wakishiriki katika hafla ya kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Shirika hilo hapa nchini.
 (Washiriki)
-        Mh. Abdullah Ibrahim Al Suwaidi, Balozi Wa Umoja wa falme za Kiarabu nchini Tanzania (Katikati)
-        Daniel Barranger, Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad (wa nne kulia)
-        Dr. Shaaban Mwinjaka Katibu Mkuu, Wizara Ya Uchukuzi (wa pili kulia)
-        Mh. Mbarouk Nassor Mbarouk, Balozi wa Tanzania Kwa Umoja wa falme za Kiarabu (wa nne kushoto)
-        Mhandisi Thomas Haule Mkurugenzi Mamlaka ya Ndege-Tanzania (wa kwanza kushoto)
-        Ahmed Al Shehhi-Mkurugenzi mkuu wa shirika la Ndege la Etihad Tanzania (wa kwanza kulia
View photo in message
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao mkuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.

View photo in message
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger (katikati) akifurahia kikundi cha ngoma mara baada ya uzinduzi rasmi wa shirika hilo la ndege hapa nchini. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ambapo sasa wateja mbalimbali watakua na fursa ya kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.(VICTOR)
Design by Victor Simon -