Ndugu Zangu Leo nimepata mualiko kwenye kipindi cha Ramani ya ulimwengu kinachorushwa kila siku kuanzia saa 17:00-17:30 Ebony Fm Radio ya Mkoani Iringa kwa kuchambua mambo yahusuyo Siku ya walemavu Dunia ambayo hii leo yameadhimishwa Kitaifa hapa Tanzania katika uwanja wa Kichanganyi Mkoani Iringa huku kauli mbiu yake ikiwa ni "MAENDELEO ENDELEVU AHADI YA TEKNOLOJIA"
Wednesday, 3 December 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment